sw_tn/exo/39/01.md

12 lines
263 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Bezaleli na kundi lake wanaanza kutengeneza mavazi ya kikuhani.
# wakafanya
Neno "wakafanya" lina husu Bezaleli, Oholiabu, na wafanya kazi wingine.
# kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"