Maelezo ya Jumla
Bezaleli na kundi lake wanaanza kutengeneza mavazi ya kikuhani.
wakafanya
Neno "wakafanya" lina husu Bezaleli, Oholiabu, na wafanya kazi wingine.
kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa
"sawa na Yahweh alivyo mwambia Musa kufanya"