sw_tn/exo/36/11.md

440 B

Kisha akafanya vitanzi ... ikawa maskani moja

Kwa 36:11-13 ona jinsi ulivyo tafsiri maneno haya 26:4

vitanzi vya uzi wa bluu

vitanzi vya vitambaa vya bluu

kitambaa

Haya yalikuwa vitambaa vikubwa vya kushona vilivyo tumika kutengeneza kifuniko na kuta za kugawanya patakatifu.

Akafanya

Hapa "akafnya" ya husu Bezaleli, lakini ina husisha wanaume wanao fanya kazi hekaluni.

kulabu hamsini za dhahabu

"kulabu 50 za dhahabu"