sw_tn/exo/35/17.md

16 lines
346 B
Markdown

# vishikizo
Hizi zilikuwa pazia kubwa zilizo tengenezwa kwa kitambaa.
# nguzo
Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa na kutumika kama vishikizo.
# sakafu
Hizi zilikuwa tofali zenye shikizo ndani yake kushikilia mbao.
# misumari ya hema
vipande vikali vya mbao au chuma vilivyo tumika kuhifadhi miisho ya hema kwenye ardhi.