forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
346 B
Markdown
16 lines
346 B
Markdown
# vishikizo
|
|
|
|
Hizi zilikuwa pazia kubwa zilizo tengenezwa kwa kitambaa.
|
|
|
|
# nguzo
|
|
|
|
Hizi zilikuwa vipande vigumu vya mbao vilivyo nyooshwa na kutumika kama vishikizo.
|
|
|
|
# sakafu
|
|
|
|
Hizi zilikuwa tofali zenye shikizo ndani yake kushikilia mbao.
|
|
|
|
# misumari ya hema
|
|
|
|
vipande vikali vya mbao au chuma vilivyo tumika kuhifadhi miisho ya hema kwenye ardhi.
|