sw_tn/exo/33/17.md

12 lines
260 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Yahweh anapo tumia neno "nawe" katika huu mstari, ni katika uchache na lina husu Musa.
# umepata upendeleo machoni mwangu
Huu ni msemo wenye maana kwamba Mungu kapendezwa naye.
# nina kujua kwa jina
Kumjua mtu kwa jina ni kumjua vyema.