sw_tn/exo/32/30.md

359 B

Mmetenda dhambi kuu

Waliabudu sanamu.

Labda nitafanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu

Musa aliongea kumshawishi Mungu kuwasamehe watu kana kwamba aliweza fanya upatanisho kwa ajili ya dhambi.

unifute, nakusihi, katika kitabu

Hapa Musa anaongelea jina lake.

kitabu chako ulichoandika

Mungu alicho andika katika kitabu cha weza andikwa wazi.