forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
857 B
Markdown
28 lines
857 B
Markdown
# Musa akamwambia Aruni, "Watu hawa ... dhambi hii kuu juu yao?
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
|
|
|
# ukaleta dhambi hii kuu juu yao?
|
|
|
|
Musa aliongea kusababisha watu kufanya dhambi kana kwamba dhambi ni kitu na Aruni aliwawekea.
|
|
|
|
# Hasira yako isiwake
|
|
|
|
Aruni aliongelea hasira ya Musa kana kwamba ni moto unao weza kuchoma. "Usiwe na hasira sana"
|
|
|
|
# wamejielekeza kwa mabaya
|
|
|
|
Kupania kufanya uovu kunaongelewa kama kuwekwa kwenye uovu.
|
|
|
|
# huyo Musa
|
|
|
|
Watu walionyesha kutoheshimu kwa kuweka "huyo" kabla ya jina lake, kana kwamba Musa laikuwa mtu wasio mjua na hawawezi muamini.
|
|
|
|
# Nikawaambia, 'Mtu ye yote aliye na dhahabu na aivue
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
|
|
|
# nikaitupa ndani ya moto, akatoka ndama huyu
|
|
|
|
Badala ya kuchukuwa umiliki wa kutengeneza ndama, Aruni anadai ndama alitoka kwenye moto kimuujiza.
|