sw_tn/exo/32/15.md

262 B

mbao mbili za mawe

Hizi ni mbao mbili za mawe ambazo Mungu aliandika amri zake.

Na zile mbao zilikuwa kazi ya Mungu nayo maandiko yalikuwa maandiko ya Mungu

Hii mistari miwili ina maana moja. Wa pili waeleza jinsi hizi mbao zilikuwa "kazi pekee ya Mungu"