sw_tn/exo/30/34.md

520 B

Maelezo ya Jumla

Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini cha kufanya. Yahweh anampa amri Musa tu.

natafi, na shekelethi, na kelbena

Haya ni manukato.

Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea

Neno "yamekolea" la weza tafsiriwa katika tensi tendaji.

mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea

Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alipaswa kumpa mtengeneza manukato kufanya kazi au 2) Musa alipaswa kufanya kazi peke yake.

utayaponda

"utasaga"