forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
520 B
Markdown
20 lines
520 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa nini cha kufanya. Yahweh anampa amri Musa tu.
|
||
|
|
||
|
# natafi, na shekelethi, na kelbena
|
||
|
|
||
|
Haya ni manukato.
|
||
|
|
||
|
# Nawe utafanya uvumba wa vitu hivyo, manukato ya kazi ya ustadi wa mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea
|
||
|
|
||
|
Neno "yamekolea" la weza tafsiriwa katika tensi tendaji.
|
||
|
|
||
|
# mtengenazaji manukato, yatakuwa yamekolea
|
||
|
|
||
|
Maana zinazo wezekana ni 1) Musa alipaswa kumpa mtengeneza manukato kufanya kazi au 2) Musa alipaswa kufanya kazi peke yake.
|
||
|
|
||
|
# utayaponda
|
||
|
|
||
|
"utasaga"
|