sw_tn/exo/28/42.md

284 B

Maelezo ya Jumla

Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.

suruali za nguo ya kitani

Hizi zilikuwa nguo za ndani, nguo zinazo valia njee ya nguo za njee, karibu na ngozi.

hema ya kukutania

Hili ni jina lingine la maskani.

amri ya milele

"sheria hisiyo kwisha"