sw_tn/exo/28/39.md

16 lines
335 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Mungu anaendelea kumwambia Musa nini watu wafanye.
# kilemba
kitambaa kirefu cha kichwa kinacho zungushwa kichwani mara kadhaa.
# mshipi
Mshipi ni kipande cha kitambaa ambacho mtu anavaa kwenye kiuno chake au kwenye kifua.
# kazi ya mwenye kutia taraza
Mtia taraza ni mtu anaye shona michoro kwenye kitambaa.