sw_tn/exo/24/09.md

535 B

Nadabu ... Abihu

Haya ni majina ya wanaume.

Chini ya miguu

Hii ina muongelea Mungu kana kwamba alikuwa na miguu ya mwanadamu.

sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi

"sakafu iliyo tengenezwa kwa mawe ya buluu yanayo itwa yakuti samawi"

sakafu

ardhi ngumu iliyo tengenezwa kwa kutembelea au kuendeshea

jiwe la yakuti samawi

Hii ni dini ambalo ni buluu kwa rangi.

safi kama mbingu yenyewe

Hili ni fumbo.

Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli

Hii ina maana kuwa Mungu hakujeruhi viongozi.