forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
535 B
Markdown
28 lines
535 B
Markdown
|
# Nadabu ... Abihu
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Chini ya miguu
|
||
|
|
||
|
Hii ina muongelea Mungu kana kwamba alikuwa na miguu ya mwanadamu.
|
||
|
|
||
|
# sakafu iliyo jengwa kwa jiwe la yakuti samawi
|
||
|
|
||
|
"sakafu iliyo tengenezwa kwa mawe ya buluu yanayo itwa yakuti samawi"
|
||
|
|
||
|
# sakafu
|
||
|
|
||
|
ardhi ngumu iliyo tengenezwa kwa kutembelea au kuendeshea
|
||
|
|
||
|
# jiwe la yakuti samawi
|
||
|
|
||
|
Hii ni dini ambalo ni buluu kwa rangi.
|
||
|
|
||
|
# safi kama mbingu yenyewe
|
||
|
|
||
|
Hili ni fumbo.
|
||
|
|
||
|
# Mungu hakugusa na mkono kwa hasira viongozi Waisraeli
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuwa Mungu hakujeruhi viongozi.
|