forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
415 B
Markdown
20 lines
415 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Hakuna mwanamke atakaye kuwa tasa au mimba kuharibika katika nchi yako
|
|
|
|
Hii yaweza andikwa katika tensi chanya.
|
|
|
|
# mimba kuharibika
|
|
|
|
mimba kufika mwisho mapema na pasipo tarajia
|
|
|
|
# mavu
|
|
|
|
mdudu anaye paa na anaweza uma watu na kusababisha maumivu
|
|
|
|
# au nchi itakuwa imetelekezwa
|
|
|
|
"kwasababu hakuna atakaye kuwa anaishi nchini"
|