forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
311 B
Markdown
16 lines
311 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa sheria zake kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Lazima uadhimishe
|
|
|
|
"Lazima uheshimu"
|
|
|
|
# Sherehe ya Ukusanyaji
|
|
|
|
Hii sherehe ya sherekewa mwishoni mwa mavuno ya mazao ya mwaka.
|
|
|
|
# Wanaume wote wako lazima wajitokeze
|
|
|
|
Hapa "kujitokeza" kuna maana ya kukusanyika kwa ibada.
|