forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
522 B
Markdown
24 lines
522 B
Markdown
# Nitakunyeshea mvua ya mkate.
|
|
|
|
Mungu anaongelea chakula kutoka mbinguni kana kwamba ni mvua.
|
|
|
|
# mkate
|
|
|
|
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
|
|
|
|
# wataendelea kushika sheria yangu
|
|
|
|
Mungu anaongelea kutii sheria yake kama kutembea ndani yake.
|
|
|
|
# sheria yangu
|
|
|
|
"amri yangu"
|
|
|
|
# Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba wata
|
|
|
|
"itatokea siku ya sita kwamba wata" au "siku ya sita wata"
|
|
|
|
# siku ya sita
|
|
|
|
"siku ya 6"
|