forked from WA-Catalog/sw_tn
522 B
522 B
Nitakunyeshea mvua ya mkate.
Mungu anaongelea chakula kutoka mbinguni kana kwamba ni mvua.
mkate
Mungu anaongelea chakula ambacho atakituma kana kwamba ni mkate. Waisraeli watakula hichi chakula kila siku, kama walivyo kula mkate kila siku kabla ya hichi.
wataendelea kushika sheria yangu
Mungu anaongelea kutii sheria yake kama kutembea ndani yake.
sheria yangu
"amri yangu"
Itakuja kuwa siku ya sita, kwamba wata
"itatokea siku ya sita kwamba wata" au "siku ya sita wata"
siku ya sita
"siku ya 6"