forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
458 B
Markdown
16 lines
458 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Huu ni wimbo wa matukio yaliyo tokea 14:16
|
|
|
|
# farasi na dereva wake amewatupa kwenye bahari
|
|
|
|
Musa aliimba kuhusu Mungu kusababisha bahari kufunika na kuzamisha farasi na dereva kana kwamba Mungu kawatupa baharini.
|
|
|
|
# farasi na dereva wake
|
|
|
|
Hii inahusu wote au farasi wengi wa Wamisri na madereva waliyo kuwa wakiwafukuzia Waisraeli.
|
|
|
|
# dereva
|
|
|
|
Huyu ni mtu anaye keti kwenye farasi au ana safiri kwa gari la farasi linalo vutwa na farasi.
|