forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
628 B
Markdown
24 lines
628 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahweh anaendelea kuzungumza na Musa kuhusu kushughulika na Farao na kuwaleta watu Waebrania njee ya Misri.
|
|
|
|
# ukikataa kuwaruhusu waende, kama utaendelea kuwa bakiza nyuma
|
|
|
|
Hii mistari miwili ina maana moja. Watamsisitiza Farao nini kitakacho watokea Farao akifanya hivi.
|
|
|
|
# basi mkono wa Yahweh utakuwa kinyume dhidi
|
|
|
|
Neno "mkono" hapa wa wakilisha nguvu ya Yahweh ya kuwa dhuru wanyama kwa magonjwa.
|
|
|
|
# ya mifugo yako
|
|
|
|
Neno "yako" hapa la husu watu wote wa Misri waliyo miliki mifugo.
|
|
|
|
# mifugo ya Israeli
|
|
|
|
Hapa "Israeli" ya husu watu wa Israeli.
|
|
|
|
# mifugo Misri
|
|
|
|
Neno "Misri" hapa la husu watu wa Misri
|