sw_tn/exo/04/04.md

12 lines
300 B
Markdown

# shika kwenye mkia
"nyanyua kwenye mkia" au "chukuwa kwenye mkia"
# likawa gongo
"geuka kuwa gongo" au "badilika kuwa gongo"
# Mungu wa mababu zao, Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka, na Mungu wa Yakobo
Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.