forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
762 B
Markdown
32 lines
762 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Mungu anaendelea kuzungumza na Musa.
|
|
|
|
# Mungu wa mababu zako, Mungu wa Ibrahimu, wa Isaka, na wa Yakobo
|
|
|
|
Ibrahimu, Isaka na Yakobo walikuwa ni mababu wa tatu wa Musa. Wote walimuabudu Mungu mmoja.
|
|
|
|
# Hakika nimekutathimini
|
|
|
|
Neno "wewe" la husu watu wa Israeli.
|
|
|
|
# nchi inayo tiririka maziwa na asali
|
|
|
|
Mungu aliongelea nchi kuwa nzuri kwa wanyama na mimea kana kwamba maziwa na asali kutoka kwa hao wanyama yalikuwa ya tiririka kwenye nchi.
|
|
|
|
# tiririka
|
|
|
|
"iliyo jawa" au kwa utele wa"
|
|
|
|
# maziwa
|
|
|
|
Kwa maana maziwa yanatoka kwa ng'ombe na mbuzi, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mifugo.
|
|
|
|
# asali
|
|
|
|
Kwa maana asali yanatoka kwenye mau, hii ya wakilisha chakula kinacho tokana na mazao.
|
|
|
|
# Watakusikiliza wewe
|
|
|
|
Neno "wewe" la muhusu Musa.
|