forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
401 B
Markdown
20 lines
401 B
Markdown
# Akatoka
|
|
|
|
"Musa akatoka"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Neno "tazama" hapa la onyesha kwamba Musa alishangazwa kwa alicho kiona.
|
|
|
|
# yeye aliye kuwa na makosa
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni namna ya kusema "yeye alianza pambano"
|
|
|
|
# nani aliye kufanya kiongozi na muamuzi juu yetu?
|
|
|
|
Mtu aliye tumia hili swali kumkemea Musa kwa kuingilia pambano.
|
|
|
|
# Unataka kuniua kama ulivyo muua yule Mmisri?
|
|
|
|
Mwanaume huyu alitumia swali kwa kejeli.
|