sw_tn/est/09/26.md

351 B

Purimu

Sikukuu iliyosherehekewa kukumbuza wokovu wa Wayahudi katika Uajemi kutoka kwa njama ya Hamani ya kuharibu na kuua Wayahudi wote ndani ya siku moja.

mbili

"2"

Siku hizi zilipawa kusherehekewa na kutunzwa

"Wayahudi walipaswa kusherehekea na kuzitunza siku hizi"

"wasikome kuzitunza kwa uaminifu"

"kutunza kwa uaminifu mara zote"