forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
302 B
Markdown
16 lines
302 B
Markdown
# batilisha
|
|
|
|
"kufuta rasmi"
|
|
|
|
# Hammedatha
|
|
|
|
(Tazama:tafsiri majina)
|
|
|
|
# majimbo
|
|
|
|
Tafsiri kama katika 1:1.
|
|
|
|
# Ninawezaje kuona ubaya ukiwapata watu wangu? Ninawezaje kutazama uharibifu wa jamaa zangu?
|
|
|
|
"Siwezikuvumilia kuona ubaya unawaangukia Wayahudi. Siwezi kuvumilia kutazama jamaa zangu wakiuwawa."
|