sw_tn/est/06/10.md

16 lines
562 B
Markdown

# Modekai
Modekai alikuwa mwanamme myahudi akiishi katika nchi ya Waajemi. Alikuwa mlezi wa binamu yake Esta, ambaye baadaye alikuwa mke wa mfalme wa Uajemi, Ahausiero.
# Muyahudi, Wayahudi
Wayahudi ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno Yahudi linatokana na neno Yuda.
# lango, komeo
"lango" ni kizuizi kilichowekwa mahali pa kuingilia katika fensi au ukuta unaozunguka nyumba.Komeo inamaanisha ubao au chuma ambacho kinaweza kusogezwa katika sehemu ili kufunga lango.
# tangaza, mbiu
ni kutangaza au kutangaza kitu kwenye hadhara na kwa ujasiri.