forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
562 B
Markdown
16 lines
562 B
Markdown
# Modekai
|
|
|
|
Modekai alikuwa mwanamme myahudi akiishi katika nchi ya Waajemi. Alikuwa mlezi wa binamu yake Esta, ambaye baadaye alikuwa mke wa mfalme wa Uajemi, Ahausiero.
|
|
|
|
# Muyahudi, Wayahudi
|
|
|
|
Wayahudi ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno Yahudi linatokana na neno Yuda.
|
|
|
|
# lango, komeo
|
|
|
|
"lango" ni kizuizi kilichowekwa mahali pa kuingilia katika fensi au ukuta unaozunguka nyumba.Komeo inamaanisha ubao au chuma ambacho kinaweza kusogezwa katika sehemu ili kufunga lango.
|
|
|
|
# tangaza, mbiu
|
|
|
|
ni kutangaza au kutangaza kitu kwenye hadhara na kwa ujasiri.
|