|
# amrisha, kuamrisha, amri
|
|
|
|
Neno "kuamrisha" maana yake kumuagiza mtu kufanya kitu. "Amuru" au "amri" ni kile ambacho mtu aliagizwa kufanya.
|
|
|
|
# Myahudi, Uyahudi, Wayahudi
|
|
|
|
Wayahudi ni watuambao ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno "Myahudi" linatokana na neno "Yuda."
|