sw_tn/est/03/03.md

8 lines
275 B
Markdown

# amrisha, kuamrisha, amri
Neno "kuamrisha" maana yake kumuagiza mtu kufanya kitu. "Amuru" au "amri" ni kile ambacho mtu aliagizwa kufanya.
# Myahudi, Uyahudi, Wayahudi
Wayahudi ni watuambao ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno "Myahudi" linatokana na neno "Yuda."