sw_tn/est/03/03.md

275 B

amrisha, kuamrisha, amri

Neno "kuamrisha" maana yake kumuagiza mtu kufanya kitu. "Amuru" au "amri" ni kile ambacho mtu aliagizwa kufanya.

Myahudi, Uyahudi, Wayahudi

Wayahudi ni watuambao ni uzao wa mjukuu wa Abrahamu, Yakobo. Neno "Myahudi" linatokana na neno "Yuda."