sw_tn/eph/06/09.md

335 B

fanyeni vivyo hivyo kwa watumwa wenu, na msiwatishie

Msiwatishie watumwa wenu, lakini muwafundishe kama Kristo angeweza kuwafundisha"

mkijua kwamba yeye aliye Bwana wa wote ni yule aliye mbinguni

"kwa sababu mnajua kuwa Krisato ni Bwana wa wote watumwa na Mabwana zao"

Mkijua kuwa hakuna upendeleo kwake

"Na hana upendeleo"