sw_tn/eph/06/04.md

307 B

Na ninyi akina baba msiwakwaze watoto na kuwasababishia hasira

"Ninyi wababa msifanye mambo ambayo yatawafanya watoto wenu wakasirike" au "Ninyi akina baba msiwasababishie wattoto wenu kuwa na hasira"

muwalee katika maonyo na maagizo ya Bwana

"wasaidieni kukua katika mafunzo na mafundisho ya Bwana"