sw_tn/eph/05/22.md

341 B

sentensi Unganishi:

Paulo anatoa maelekezo kwa mume na wake juu ya jinsi wanavyopaswa kutendeana.

yeye ni mwokozi wa mwili

NI: "Kristo ni Mwokozi wa mwili wa waumini" au "Kristo ni Mwokozi wa waumini wote"

Hivyo pia wake wawe kwa waume zao katika kila kitu

NI: "hivyo wake lazima pia wawe watiifu kwa waume zao katika kila jambo"