forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
447 B
Markdown
20 lines
447 B
Markdown
# Kauli unganishi
|
|
|
|
Paulo anaendelea kuwaambia waumini jinsi wanavyotakiwa na wasivyotakiwa kuishi kama watoto wa Mungu.
|
|
|
|
# Kwa hiyo mwe wa kumuiga Mungu
|
|
|
|
"Hivyo ninyi mfanye mambo ambayo Mungu hufanya"
|
|
|
|
# kama watoto wake wapendwa
|
|
|
|
Mungu anatamani sisi tumuige yeye maadam sisi ni watoto wake.
|
|
|
|
# tembea katika upendo
|
|
|
|
"ishi maisha ya upendo"
|
|
|
|
# sadaka na dhabihu, harufu nzuri inayompendeza Mungu
|
|
|
|
"sadaka inayonukia vizuri na dhabihu kwa Mungu"
|