sw_tn/eph/05/01.md

447 B

Kauli unganishi

Paulo anaendelea kuwaambia waumini jinsi wanavyotakiwa na wasivyotakiwa kuishi kama watoto wa Mungu.

Kwa hiyo mwe wa kumuiga Mungu

"Hivyo ninyi mfanye mambo ambayo Mungu hufanya"

kama watoto wake wapendwa

Mungu anatamani sisi tumuige yeye maadam sisi ni watoto wake.

tembea katika upendo

"ishi maisha ya upendo"

sadaka na dhabihu, harufu nzuri inayompendeza Mungu

"sadaka inayonukia vizuri na dhabihu kwa Mungu"