sw_tn/eph/04/07.md

449 B

kauli unganishi

Paulo anawakumbusha waamini juu ya karama ambazo Kristo huwapa waamini kutumia katika kanisa ambalo ni mwili wote wa waamini.

maelezo ya jumla

Nukuu hii imetoka katika wimbo mfalme Daudi aliimba.

Kwa kila mmoja wetu amepewa karama

Hii yaeza elezwa kwa kutumia kauli tendaji. "Mungu ametoa karama kwa kila mmoja wetu" au "Mungu alitoa karama kwa kila muumini"

Alipopaa juu sana

"wakati Kristo alipokwenda juu mbinguni"