forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
|
# kauli unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anawakumbusha waamini juu ya karama ambazo Kristo huwapa waamini kutumia katika kanisa ambalo ni mwili wote wa waamini.
|
||
|
|
||
|
# maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Nukuu hii imetoka katika wimbo mfalme Daudi aliimba.
|
||
|
|
||
|
# Kwa kila mmoja wetu amepewa karama
|
||
|
|
||
|
Hii yaeza elezwa kwa kutumia kauli tendaji. "Mungu ametoa karama kwa kila mmoja wetu" au "Mungu alitoa karama kwa kila muumini"
|
||
|
|
||
|
# Alipopaa juu sana
|
||
|
|
||
|
"wakati Kristo alipokwenda juu mbinguni"
|