sw_tn/eph/04/04.md

370 B

Mwili mmoja

Kanisa mara nyingi linatafasiriwa kama mwili wa Kristo.

Roho moja

"Roho Mtakatifu mmoja tu" (UDB)

Pia mliitwa katika ujasiri wa taraja moja

"Mungu aliwachagua ninyi katika tumaini moja la uhakika"

Baba wa wote ... juu ya wote ... na katika yote ...na ndani ya wote

"Baba wa kila kitu...juu ya kila kitu...kupitia kila kitu...katika kila kitu"