forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
748 B
Markdown
28 lines
748 B
Markdown
# Maelezo au Sentensi unganishi:
|
|
|
|
Paulo anawakumbusha hawa waamini kwamba Mungu aliwafanya watu wamataifa na Wayahudi kuwa mwili mmoja kupitia Kristo na msalaba wake.
|
|
|
|
# wamataifa kwa jinsi ya mwili
|
|
|
|
Hii inaongelea juu watu ambao hawakuzaliwa Wayahudi.
|
|
|
|
# msiyotairiwa
|
|
|
|
Watu ambao si Wayahudi hawakutairiwa walipokuwa watoto na hivyo Wayahudi waliwaona hao kama watu wasiomfuata Mungu.
|
|
|
|
# tohara
|
|
|
|
Hili lilikuwa neno lingine linaloelezea juu ya Wayahudi kwa sababu watoto wote wachanga wa kiume walitairiwa walipokuwa na umri wa siku nane.
|
|
|
|
# tohara ya mwili
|
|
|
|
Kutahiriwa kulifanywa juu ya miili ya watoto wadogo wa kiume.
|
|
|
|
# watu wa Israel
|
|
|
|
"jamii ya watu wa Israel"
|
|
|
|
# wageni kwa agano la ahadi
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "hamkujua ahadi za agano la Mungu"
|