forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
738 B
Markdown
24 lines
738 B
Markdown
# Mungu amevitiisha
|
|
|
|
Mungu ameweka" au "Mungu ameweka"
|
|
|
|
# vitu vyote chini ya miguu ya Kristo
|
|
|
|
Hapa miguu inawakisha ubwana wa Kristo,mamlaka,na nguvu:"vitu vyote chini ya nguvu ya Kristo"
|
|
|
|
# alifanya yeye kichwa ...ambacho ni mwili wake
|
|
|
|
kama mwili wake ,kichwa hutawala vitu vyote vinavyohusu mwili wake hivyo ni Kristo kichwa cha mwili wa kanisa.
|
|
|
|
# Kichwa cha vitu vyote katika kanisa
|
|
|
|
Hapa "kichwa" kinahusu kiongozi au mmoja ambaye yupo kwenye madaraka "mtawala juu ya vitu vyote ndani ya kanisa."
|
|
|
|
# ambacho ni mwili wake
|
|
|
|
Kanisa kila mara hurejea mwili wa Kristo.
|
|
|
|
# "ukamilifu wake ambao hujaza vitu vyote katika njia zote"
|
|
|
|
"Kristo hujaza kanisa na kwa mwili wake na nguvu ambazo hutupatia na kuzuilia maisha na vitu vyote"
|