sw_tn/eph/01/22.md

738 B

Mungu amevitiisha

Mungu ameweka" au "Mungu ameweka"

vitu vyote chini ya miguu ya Kristo

Hapa miguu inawakisha ubwana wa Kristo,mamlaka,na nguvu:"vitu vyote chini ya nguvu ya Kristo"

alifanya yeye kichwa ...ambacho ni mwili wake

kama mwili wake ,kichwa hutawala vitu vyote vinavyohusu mwili wake hivyo ni Kristo kichwa cha mwili wa kanisa.

Kichwa cha vitu vyote katika kanisa

Hapa "kichwa" kinahusu kiongozi au mmoja ambaye yupo kwenye madaraka "mtawala juu ya vitu vyote ndani ya kanisa."

ambacho ni mwili wake

Kanisa kila mara hurejea mwili wa Kristo.

"ukamilifu wake ambao hujaza vitu vyote katika njia zote"

"Kristo hujaza kanisa na kwa mwili wake na nguvu ambazo hutupatia na kuzuilia maisha na vitu vyote"