sw_tn/eph/01/19.md

1003 B

ukuu uzidio wa nguvu yake

Nguve za Mungu za pita sana nguvu zingine.

ndani yetu

"kwa faida yetu" au "kwa uhusiano nasi"

kufanya kazi katika nguvu zake

"nguvu yake kubwa ambayo ya fanya kazi ndani yetu"

alimfufua kutoka kwa wafu

"alimfufua kutoka kwa wafu" au "alimfanya kuishi tena"

kumketisha katika mkono wake wa kuume

"Kristo aliye keti mkono wa kuume wa Mungu" au "kristo aliye keti sehemu ya adhama"

mahali pa mbingu

"katika ulimwengu wa roho". Neno "mbingu" la husu sehemu Mungu alipo. Ona jinsi illivyo tafsiriwa katika 1:3

juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi

Hii ni misemo tofauti ya matabaka ya viumbe wa rohoni, kwa malaika na mapepo. " mbali zaidi ya aina tofauti za viumbe wa rohoni"

kila jina litajwalo

Hii ya weza tajwa katika kauli tendaji. Tafsiri zilizopo ni 1) "Kila jina mwanadamu atoalo" au 2) "Kila jina Mungu atoalo"

Jina

Tafsiri zilizopo ni 1) Cheo au 2)nafasi ya mamlaka.

wakati huu

"Katika wakati huu"

wakati ujao

"hapo baadae"