forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1003 B
Markdown
44 lines
1003 B
Markdown
|
# ukuu uzidio wa nguvu yake
|
||
|
|
||
|
Nguve za Mungu za pita sana nguvu zingine.
|
||
|
|
||
|
# ndani yetu
|
||
|
|
||
|
"kwa faida yetu" au "kwa uhusiano nasi"
|
||
|
|
||
|
# kufanya kazi katika nguvu zake
|
||
|
|
||
|
"nguvu yake kubwa ambayo ya fanya kazi ndani yetu"
|
||
|
|
||
|
# alimfufua kutoka kwa wafu
|
||
|
|
||
|
"alimfufua kutoka kwa wafu" au "alimfanya kuishi tena"
|
||
|
|
||
|
# kumketisha katika mkono wake wa kuume
|
||
|
|
||
|
"Kristo aliye keti mkono wa kuume wa Mungu" au "kristo aliye keti sehemu ya adhama"
|
||
|
|
||
|
# mahali pa mbingu
|
||
|
|
||
|
"katika ulimwengu wa roho". Neno "mbingu" la husu sehemu Mungu alipo. Ona jinsi illivyo tafsiriwa katika 1:3
|
||
|
|
||
|
# juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi
|
||
|
|
||
|
Hii ni misemo tofauti ya matabaka ya viumbe wa rohoni, kwa malaika na mapepo. " mbali zaidi ya aina tofauti za viumbe wa rohoni"
|
||
|
|
||
|
# kila jina litajwalo
|
||
|
|
||
|
Hii ya weza tajwa katika kauli tendaji. Tafsiri zilizopo ni 1) "Kila jina mwanadamu atoalo" au 2) "Kila jina Mungu atoalo"
|
||
|
|
||
|
# Jina
|
||
|
|
||
|
Tafsiri zilizopo ni 1) Cheo au 2)nafasi ya mamlaka.
|
||
|
|
||
|
# wakati huu
|
||
|
|
||
|
"Katika wakati huu"
|
||
|
|
||
|
# wakati ujao
|
||
|
|
||
|
"hapo baadae"
|