forked from WA-Catalog/sw_tn
495 B
495 B
Maelezo ya Jumla
Maneno "wake", "Yeye", na "yeye" yamuhusu Mungu.
Mungu ametutangazia sisi kuwa warithi wake
Neno' sisi' linamhusu Paulo, Kanisa la Efeso, na waamini wote ndani ya Kristo."Mungu alipanga muda mrefu kuturithi."
Kuwa urithi
Hapa " warithi" inahusu kuwekwa ndani ya familia ya Mungu.
Kupitia Yesu Kristo
Mungu aliwaleta waamini kwenye familia yake kupitia kazi ya Yesu Kristo.
Mpendwa wake wa kipekee
"Mpendwa wake pekee, Yesu Kristo" au "Mwanae, anaye mpenda"