sw_tn/eph/01/05.md

495 B

Maelezo ya Jumla

Maneno "wake", "Yeye", na "yeye" yamuhusu Mungu.

Mungu ametutangazia sisi kuwa warithi wake

Neno' sisi' linamhusu Paulo, Kanisa la Efeso, na waamini wote ndani ya Kristo."Mungu alipanga muda mrefu kuturithi."

Kuwa urithi

Hapa " warithi" inahusu kuwekwa ndani ya familia ya Mungu.

Kupitia Yesu Kristo

Mungu aliwaleta waamini kwenye familia yake kupitia kazi ya Yesu Kristo.

Mpendwa wake wa kipekee

"Mpendwa wake pekee, Yesu Kristo" au "Mwanae, anaye mpenda"