forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
495 B
Markdown
20 lines
495 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Maneno "wake", "Yeye", na "yeye" yamuhusu Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu ametutangazia sisi kuwa warithi wake
|
||
|
|
||
|
Neno' sisi' linamhusu Paulo, Kanisa la Efeso, na waamini wote ndani ya Kristo."Mungu alipanga muda mrefu kuturithi."
|
||
|
|
||
|
# Kuwa urithi
|
||
|
|
||
|
Hapa " warithi" inahusu kuwekwa ndani ya familia ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kupitia Yesu Kristo
|
||
|
|
||
|
Mungu aliwaleta waamini kwenye familia yake kupitia kazi ya Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Mpendwa wake wa kipekee
|
||
|
|
||
|
"Mpendwa wake pekee, Yesu Kristo" au "Mwanae, anaye mpenda"
|