sw_tn/eph/01/03.md

934 B

Sentensi unganishi

Paulo anafungua barua kwa kuongea kuhusu nafasi ya waamini na usalama wao mbele za Mungu.

Maelezo ya Jumla

Katika hiki kitabu, vinginevyo kuelezwa, maneno "sisi" na "wote" ya husu Paulo, waamini wa Efeso, na waamini wote.

Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa.

'Hii pia yaweza ekwa hali tendaji. " Acha tumsifu Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.

Aliyetubariki

"kwa kuwa Mungu ameyubariki sisi"

Kila baraka za rohoni

"Kila baraka zinakuja kutoka katika Roho wa Mungu"

Katika maeneo ya bingu

"katika ulimwengu wa roho". Neno "bingu" la husu mahali Mungu alipo.

Ndani ya Yesu

"Ndani ya Yesu " sawa na maelezo ambayo ni mafumbo kila mara hutokea kwenye barua za Agano jipya. Zinaeleza aina ya mahusiano mazito yanayowezekana kati Kristo na wote wanaomwamini.

Tuwe watakatifu na tusiwe na lawama

Paulo anatumia maneno mawili yenye kufanana akisisitiza uadilifu.