forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
934 B
Markdown
32 lines
934 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Paulo anafungua barua kwa kuongea kuhusu nafasi ya waamini na usalama wao mbele za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Katika hiki kitabu, vinginevyo kuelezwa, maneno "sisi" na "wote" ya husu Paulo, waamini wa Efeso, na waamini wote.
|
||
|
|
||
|
# Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa.
|
||
|
|
||
|
'Hii pia yaweza ekwa hali tendaji. " Acha tumsifu Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
|
||
|
|
||
|
# Aliyetubariki
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa Mungu ameyubariki sisi"
|
||
|
|
||
|
# Kila baraka za rohoni
|
||
|
|
||
|
"Kila baraka zinakuja kutoka katika Roho wa Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Katika maeneo ya bingu
|
||
|
|
||
|
"katika ulimwengu wa roho". Neno "bingu" la husu mahali Mungu alipo.
|
||
|
|
||
|
# Ndani ya Yesu
|
||
|
|
||
|
"Ndani ya Yesu " sawa na maelezo ambayo ni mafumbo kila mara hutokea kwenye barua za Agano jipya. Zinaeleza aina ya mahusiano mazito yanayowezekana kati Kristo na wote wanaomwamini.
|
||
|
|
||
|
# Tuwe watakatifu na tusiwe na lawama
|
||
|
|
||
|
Paulo anatumia maneno mawili yenye kufanana akisisitiza uadilifu.
|