forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
680 B
Markdown
24 lines
680 B
Markdown
# Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako
|
|
|
|
Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo.
|
|
|
|
# moyo wako ufurahie
|
|
|
|
Hapa neno "moyo" inamaanisha hisia. "uwe na furaha"
|
|
|
|
# Fuatilia yale mema ya moyo wako
|
|
|
|
Hapa neno "moyo" inaweza kumaanisha akili au hisia. "Fuatilia vitu vizuri unavyotamani" au "Fuatilia vitu vyema ulivyokusudia kufuatilia"
|
|
|
|
# chochote kilicho mbele ya macho yako
|
|
|
|
"Chochote unachoona na kutamani" au "chochote unachoona kinafaa"
|
|
|
|
# Mungu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote
|
|
|
|
"Mungu atakuwajibisha kwa matendo yako yote"
|
|
|
|
# Ondoa hasira kutoka moyoni mwako
|
|
|
|
"Kataa kuwa na hasira"
|