sw_tn/ecc/11/09.md

680 B

Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako

Misemo hii miwili inamaanisha kitu kimoja na imeunganishwa kwa ajili ya msisitizo.

moyo wako ufurahie

Hapa neno "moyo" inamaanisha hisia. "uwe na furaha"

Fuatilia yale mema ya moyo wako

Hapa neno "moyo" inaweza kumaanisha akili au hisia. "Fuatilia vitu vizuri unavyotamani" au "Fuatilia vitu vyema ulivyokusudia kufuatilia"

chochote kilicho mbele ya macho yako

"Chochote unachoona na kutamani" au "chochote unachoona kinafaa"

Mungu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote

"Mungu atakuwajibisha kwa matendo yako yote"

Ondoa hasira kutoka moyoni mwako

"Kataa kuwa na hasira"