sw_tn/ecc/10/16.md

545 B

Ole wako ardhi ... umebarikiwa ardhi

Katika mstari huu, mwandishi anazungumza na taifa kana kwamba ni mtu.

kama mfalme wako ni kijana mdogo

Hii inamaanisha kuwa mfalme hana uzoefu au hajapevuka kiakili. Lakini tafsiri zingine za kisasa zinatafsiri neno la Kihebrania kama "mtumishi"

huanza karamu ahsubuhi

Hii huashiria kuwa viongozi wanajali zaidi kuwa na wakati mzuri kuliko kuongoza taifa.

mfalme wako ni mwana wa waungwana

Hii huashiria kuwa mwana huyu amefundishwa vizuri na wakubwa wake katika desturi za kuwa mfalme mzuri.