forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
545 B
Markdown
16 lines
545 B
Markdown
|
# Ole wako ardhi ... umebarikiwa ardhi
|
||
|
|
||
|
Katika mstari huu, mwandishi anazungumza na taifa kana kwamba ni mtu.
|
||
|
|
||
|
# kama mfalme wako ni kijana mdogo
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwa mfalme hana uzoefu au hajapevuka kiakili. Lakini tafsiri zingine za kisasa zinatafsiri neno la Kihebrania kama "mtumishi"
|
||
|
|
||
|
# huanza karamu ahsubuhi
|
||
|
|
||
|
Hii huashiria kuwa viongozi wanajali zaidi kuwa na wakati mzuri kuliko kuongoza taifa.
|
||
|
|
||
|
# mfalme wako ni mwana wa waungwana
|
||
|
|
||
|
Hii huashiria kuwa mwana huyu amefundishwa vizuri na wakubwa wake katika desturi za kuwa mfalme mzuri.
|