sw_tn/ecc/10/12.md

278 B

Taarifa ya Jumla:

Mithali inaendelea.

Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma

"Vitu ambavyo mtu mwenye hekima husema vina huruma"

midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe

Hapa neno "kumeza" inaashiria kuteketeza. "Vitu ambavyo mtu mpumbavu hunena humteketeza"